Thursday 27 September 2012

KANUUMBA UMEACHA SIMANZI KUMBWA KWA WATANZANIA

KANUUMBA UMEACHA SIMANZI KUMBWA KWA WATANZANIA


TASWIRA MBALI MBALI ZA KUAGWA MAREHEMU STEVEN KANUMBA

Eneo katika makaburi ya kinondoni ambapo mwili wa marehemu Steven Kanumba unapumzishwa.
Polisi wa usalama barabarani na kazi ya ziada.
Watu walivyofurika kwa wingi.
Wengine juu ya miti.
Wasanii mbalimbali waliubeba mwili wa marehemu kutoka kwenye gari kuelekea sehemu maalum iliyotengwa kwa ajili ya kuagia.

MWILI WA KANUMBA WAAGWA PALE LEADERS CLUBNA KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI

Picha kwa hisani ya dj choka.

0 comments:

Post a Comment