Thursday 27 September 2012

Kagera ni moja ya mikoa inayoendelea kujaliwa fulsa za kitalii

Kagera ni moja ya mikoa inayoendelea kujaliwa fulsa za kitalii

Tanzania ni moja ya nchi inayoendelea kujaliwa mali asili nyingi za kitalii, wazungu waliowengi hupenda kutembele nchi ya Tanzania kwa ajili ya kujionea asilia ya mambo mbalimbali kama milima, mabonde, maziwa pamoja na kuangalia maisha ya watanzania jinsi wanavyoishi, Na ndani ya Tanzania kuna baadhi ya mikoa ambayo ilijaliwa kuwa na mambo mengi yanayopendwa kuzuliwa na wenzetu, mfano mkoa wa Kagera ni mkoa ambao ukiuangalia kwa asili yake its xo amazing, Lakini tatizo watanzania hili hatuliangalii kama ni fulsa nzuri za kuweza kutumia     Huu ni mmoja ya (sijui niuite milma sijui niyaite mawe), lakini kama unavyoweza kuona wazungu walivyopouz wakifurahia hewa nzuri ya kagera, Mungu ibariki Kagera ,Mungu ibariki Tanzania

0 comments:

Post a Comment